SBS Swahili - SBS Swahili cover art

Podcast

SBS Swahili - SBS Swahili

1,008 episodesLatest 2 days agoNew episode
Recorded in AustraliaAbout AustraliaSwahiliNewsDaily NewsSociety & Culture
Independent news and stories from SBS Audio, connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili

Episodes — page 46

  1. Mwongozo wako wakubaki salama nakupata baridi wakati wa majira ya joto ya Australia

    Msimu wa majira ya joto, hu ahidi anga iliyo wazi na hali ya hewa ya joto. Kwa watu wengi, ni geuzi linalo karibishwa baada ya kuvumilia miezi ya baridi.

    11:15
  2. Taarifa ya Habari 11 Disemba 2023

    Waziri wa mambo ya ndani Clare O'Neil amesema, kupunguzwa kwa mapokezi ya wahamiaji kuta unda sehemu ya mkakati mpya wa uhamiaji wa serikali.

    07:58
  3. Gilbert afunguka kuhusu mchezo wa handball

    Watu wenye asili ya Afrika, wana julikana kwa umahiri wao waku cheza, soka, mchezo wavikapu, ndondi na riadha.

    07:29
  4. Taarifa ya Habari 8 Disemba 2023

    Majimbo kadhaa yame wekwa katika tahadhari ya juu ya moto wa vichaka, mazingira ya joto kali yakitabiriwa wikendi hii.

    19:27
  5. Taarifa ya Habari 7 Disemba 2023

    Naibu kiongozi wa chama cha Liberal Sussan Ley ameomba serikali ya Albanese, iwaombe wa Australia msamaha wakati serikali ya Labor inazingatia kuwakamata tena watu ambao si raia wa…

    06:33
  6. Makubaliano ya Uingereza na Rwanda kuhusu waomba hifadhi mashakani

    Waziri mkuu wa Uingereza Rishi Sunak amewataka wabunge wa chama chake cha Conservative siku ya Alhamisi kuunga mkono mpango wake wa kuwapeleka Rwanda waomba hifadhi.

    07:25
  7. George afunguka kwa nini alikimbia kutoka Adelaide hadi Melbourne

    George Chijarira ni mwanachama wa jumuiya ya watanzania wanao ishi Melbourne, Victoria.

    19:51
  8. Taarifa ya Habari 5 Disemba 2023

    Serikali ya shirikisho inatarajiwa kuwasilisha mageuzi ya muswada wiki hii, kwa ajili yaku kabiliana na utata ambao ume ibuka baada ya uamuzi wa mahakama kuu ambayo ili toa hukumu…

    14:28
  9. Bw Ary "tunataka onesha utamaduni na mchango wetu katika jumuiya ya Australia"

    Wana jumuiya yawa Tanzania wanao ishi mjini Melbourne, Victoria wanajiandaa kushiriki katika sherehe kubwa ya uhuru wa taifa lao pendwa.

    10:49
  10. Taarifa ya Habari 4 Disemba 2023

    Kiongozi wa upinzani Peter Dutton amelaani anacho elezea kuwa ongezeko la mashambulizi dhidi ya wayahudi nchini Australia, tangu mwanzo wa mapigano mapya kati ya Israel na Hamas.

    06:36
  11. Hezron "watu wengi wamepata makaazi, ajira na huduma nyingi kupitia Kokwet"

    Viongozi wa jumuiya ya Kokwet wali wa andalia wanachama wao hafla maalum, ambako walichangia vyakula, walifanya maonesho ya mitindo nakumaliza sherehe kwa miziki ya asili yao.

    06:24
  12. Taarifa ya Habari 1 Disemba 2023

    Viongozi wakisiasa wame waomba wa Australia waungane na waoneshe huruma hapa nyumbani, wakati mivutano inaendelea kuongezeka kwa sababu ya hali inayo endelea katika ukanda wa masha…

    18:20
  13. Brian "nita ongeza juhudi kusaidia jumuiya yangu katika kila hali"

    Shirika la Kokwet lili andaa mashindano ya wanamitindo mjini Sydney siku chache zilizo pita.

    04:38
  14. Taarifa ya Habari 30 Novemba 2023

    Maafisa wa Australia wana endelea kuwasaidia watu 67 wanao taka ondoka Gaza ila, wanasema hali huko ni mbaya katika siku ya mwisho ya kusitishwa kwa muda kwa vita.

    06:51
  15. Australia ya Elezewa: Unawezaje tupa nguo ambazo hautaki nchini Australia?

    Je unajua wa Australia hutupa zaidi ya tani 200,000 ya nguo kila mwaka?

    12:13
  16. Taarifa ya Habari 28 Novemba 2023

    Upinzani wa shirikisho unaendelea kuikosoa serikali baada ya hukumu ya mahakama kuu, kuamuru kuwa kuweka watu ndani ya vizuizi vya uhamiaji kwa muda usiojulikana nchini Australia n…

    18:04
  17. Australia ya elezewa: Wazazi wanaweza msaidiaje mtoto kupona kiwewe?

    Ikiwa mtoto wako amepata kiwewe ng'ambo au nchini Australia, ikiwa ilifanyika hivi karibuni au katika siku za nyuma, pakiwa msaada unao faa, mtoto anaweza pona.

    12:09
  18. Taarifa ya Habari 27 Novemba 2023

    Mateka 17 wa Israel wame achiwa huru na wafungwa 39 waki Palestina nao pia wame achiwa huru katika siku ya tatu ya kusitishwa kwa vita kati ya Israel na Hamas.

    06:15
  19. Unahudhuria au ni mwenyeji wa sherehe yaki Australia? Haya ndiyo unahitaji jua

    Hakuna uhaba wa matukio yaku sherehekewa nchini Australia.

    10:54
  20. Tim "tuna endelea kutumia mbinu tofauti kuwafunza watoto wetu tamaduni zetu"

    Wanajumuia wa Mulembe wanao ishi mjini Melbourne, wali wakilishwa kwa fahari nakupokewa vyema katika tamasha ya African Music Festival 2023 mjini Melbourne, Victoria.

    09:28
Now Playing