SBS Swahili - SBS Swahili cover art

Podcast

SBS Swahili - SBS Swahili

1,008 episodesLatest 1 day agoNew episode
Recorded in AustraliaAbout AustraliaSwahiliNewsDaily NewsSociety & Culture
Independent news and stories from SBS Audio, connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili

Episodes — page 28

  1. M23 na serikali ya DRC kufanya mazungumzo ya ana kwa ana

    Duru za pande hasimu nchini Kongo, zimesema serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na waasi wa M23 wanajiandaa kwa mazungumzo ya ana kwa ana 9 Aprili 2025.

    05:52
  2. Taarifa ya Habari 3 Aprili 2025

    Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema serikali ita toa dola milioni 50, kwa sekta zitakazo athiriwa kwa tangazo jipya la ushuru kutoka Marekani.

    05:25
  3. The legal loophole allowing political lies during elections - Mwanya wa kisheria unao ruhusu uongo wakisiasa wakati wa uchaguzi

    With an election date set for May 3rd, campaigning has officially begun. But political advertisements have already been circulating for months. Can you trust what they say? - Baada…

    07:46
  4. Ssaru "Mwanzoni familia hawakutaka tuwe wasanii"

    Kila kukicha sekta ya sanaa nchini Kenya, huwakaribisha wasanii wapya.

    08:13
  5. Swahili Taarifa ya Habari 1 Aprili 2025

    Waziri wa Ajira na mahusiano ya kazini, Murray Watt, ame kosoa ahadi ya upinzani yaku futa baadhi ya mageuzi ya mahusiano ya viwanda ya Serikali ya Labor.

    19:20
  6. SBS Learn Eng Pod Ep 81 Kuzungumza kuhusu uchaguzi

    Je, unajua namna ya kufanya majadiliano kuhusu uchaguzi katika Kiingereza?

    14:56
  7. Taarifa ya Habari 31 Machi 2025

    Wa Islamu nchini Australia na duniani kote, wana sherehekea Eid al-Fitr baada ya mwezi mtukufu wa Ramadan kumalizika.

    05:35
  8. What’s Australia really like for migrants with disability? - Australia ikoje kwa wahamiaji wenye ulemavu?

    Disability advocates and experts say cultural stigma and migration laws leave migrants living with disability further excluded and marginalised. - Watetezi wa ulemavu na wataalam,…

    07:48
  9. Uchaguzi wa shirikisho wa Australia kufanywa 3 Mei 2025

    Tarehe ya uchaguzi wa shirikisho wa 2025 ime tangazwa. Tangazo hilo lina maana gani? Na unastahili fanya nini sasa?

    06:10
  10. Taarifa ya Habari 28 Machi 2025

    Waziri Mkuu Anthony Albanese ametangaza kuwa tarehe ya uchaguzi mkuu itakuwa 3 Mei 2025. Bw Albanese ali muarifu Gavana Mkuu Samantha Mostyn, nia yake yaku itisha uchaguzi mkuu map…

    18:17
  11. Wapatanishi wa EAC na SADC waongeza kasi ya kujaribu kusuluhisha mzozo wa DRC

    Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na ile ya SADC, wameongeza kasi ya kujaribu kusuluhisha mzozo wa mashariki mwa nchi ya DRC.

    06:51
  12. Taarifa ya Habari 27 Machi 2025

    Msemaji wa maswala ya hazina katika Upinzani amethibitisha kuwa Upinzani wa Mseto, utafuta makato ya ushuru ya Labor, upinzani ukishinda uchaguzi mkuu.

    06:30
  13. Future "tunataka serikali ya Australia isaidie kuleta suluhu ya amani DRC"

    Wa Australia wenye asili ya DR Congo, walijumuika mbele ya bunge la taifa mjini Canberra kuandamana dhidi ya vita vinavyo endelea mashariki mwa DR Congo.

    07:47
  14. SBS Learn Eng pod Ep 6 Liking disliking Australian desserts

    Je, unajua namna yakusema unapenda au haupendi kitu katika Kiingereza?

    12:29
  15. Taarifa ya Habari 25 Machi 2025

    Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi Richard Marles, amesema kutakuwa uwekezaji wa ziada katika idara ya Ulinzi wa dola bilioni 1 katika bajeti itakayo tangazwa usiku w…

    18:16
  16. Bajeti ya 2025: Je, tume andaliwa nini?

    Bajeti ya shirikisho inatarajiwa kurejesha nakisi. Haswa uchaguzi mkuu unapo karibia, bajeti hiyo ime mulika nafasi ngumu kuendelea mbele kwa wanao ongoza nchi.

    07:24
  17. Taarifa ya Habari 24 Machi 2025

    Serikali ya Labor na Upinzani wana sifu sera zao za Uchumi, kabla ya kutangazwa kwa bajeti ya shirikisho kesho Jumanne 25 Machi.

    06:40
  18. Mark "karibuni Kusini Australia tusherehekee utamaduni wetu"

    Wa Kenya wanao ishi Australia, wana elekea mjini Adelaide, Kusini Australia kuhudhuria tamasha ya kila mwaka inayo andaliwa na jumuiya ya Kitwek jimboni humo.

    07:51
  19. Taarifa ya Habari 21 Machi 2025

    Onyo kuu la marufiko limetolewa kwa jumuiya za Kaskazini Queensland, karibu ya Lower Herbert River. Kiwango cha maji kimepita kiwango cha mafuriko cha mita 5.5 asubui ya Alhamisi 2…

    23:11
  20. Islamophobia in everyday life - Kunyanyaswa kwa wa Islamu katika maisha ya kila siku

    Against the backdrop of the Israel-Hamas war, incidents of Islamophobia in Australia have surged – whether verbal, physical or online. What's the lasting impact on victims, and wha…

    09:41
Now Playing