SBS Swahili - SBS Swahili cover art

Podcast

SBS Swahili - SBS Swahili

1,008 episodesLatest 1 day agoNew episode
Recorded in AustraliaAbout AustraliaSwahiliNewsDaily NewsSociety & Culture
Independent news and stories from SBS Audio, connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili

Episodes — page 20

  1. Yaliyojiri Afrika:Serikali ya Tanzania yatoa onyo kwa vituo vya habari vya kimataifa

    Jiunge na Jason Nyakundi anapotujuza yanayoendelea Afrika.

    08:21
  2. Mkutano wa COP30 umekamilika na makubaliano yamefikiwa

    Wajumbe wa mkutano wa COP30 nchini Brazili wamefikia makubaliano ya kushughulikia ongezeko la uzalishaji wa gesi duniani. Makubaliano hayo yanaongeza fedha kwa nchi zinazoathiriwa…

    07:39
  3. Australia yafafanuliwa:Tamasha ya muziki na utamaduni wa Afrika

    Wikendi iliyopita, jiji la Melbourne liliendelea kungara kwa rangi, muziki na Ladha za barani Afrika wakati wa tamasha la utamaduni wa afrika lililowajumuisha watu kutoka mataifa m…

    06:44
  4. Australia yafafanuliwa: wanafunzi wa kimataifa waonywa dhidi ya utapeli

    Onyo la dharura limetolewa kwa wanafunzi wa kimataifa wanaoondoka Australia wasiuze akaunti zao za benki na vitambulisho kwa wahalifu. Polisi ya Shirikisho ya Australia inasema kwa…

    04:10
  5. Australia yafafanuliwa:Afya ya akili katika ujauzito na baada ya kujifungua

    Karibu mmoja kati ya Waustralia wanne hawatafuti msaada wanapopata matatizo ya afya ya akili wakati wa ujauzito au baada ya kujifungua. Wataalamu wanasema kwamba taarifa zilizotole…

    09:51
  6. Taarifa ya habari tarehe 21 Novemba

    Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.

    11:08
  7. Taarifa ya habari tarehe 18 Novemba

    Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.

    10:31
  8. Taarifa ya habari tarehe 14 Novemba

    Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.

    10:21
  9. Taarifa ya habari tarehe 11 Novemba

    Elekea kwenye tovuti yetu katika sbs.com.au/swahili kwa habari na taarifa zaidi.

    12:58
  10. Yaliyojiri Afrika 21 Novemba

    Jason Nyakundi anatujuza yaliyojiri Afrika

    08:50
  11. Yaliyojiri Afrika 18 Novemba

    Jason Nyakundi anatujuza yaliyojiri Afrika

    08:44
  12. Yaliyojiri Afrika 14 Novemba

    Jason Nyakundi anatujuza yaliyojiri Afrika

    06:34
  13. Yaliyojiri Afrika 11 Novemba

    Jason Nyakundi anatujuza yaliyojiri Afrika

    06:41
  14. Programu za kufunza watu wazima kusoma na kuandika

    Mmoja kati ya Waaustralia watano, au takriban watu wazima milioni tatu, wana kiwango cha chini cha ujuzi wa kusoma na kuandika au hesabu - na hii inaweza kuwa na athari kubwa katik…

    05:46
  15. Tahadhari kwa wanaohitimu shule

    Kadri maelfu ya vijana wanaposherehekea kumaliza Mwaka wa 12, wanakumbushwa juu ya hatari zinazokuja na unywaji pombe, hasa nje ya nchi. Wazazi na marafiki wa waathiriwa wa sumu ya…

    04:50
  16. Yaliyojiri Afrika 7 novemba

    Jason Nyakundi anatujuza yanayojiri Afrika.

    07:09
  17. Watu wa asili kwenye hatihati ya kutoweka Brazil

    Shirika lisilo la faida linasema karibu nusu ya jamii za Wenyeji wanaoishi mbali na ulimwengu wanakabiliwa na kutoweka ndani ya muongo kutokana na ukataji miti, uchimbaji wa madini…

    08:18
  18. Uzalishaji wa Net Zero nchini Australia

    Muungano umeidhinisha rasmi kuondoa lengo la kutofikia uzalishaji wa gesi chafu katika mkutano wa chumba cha chama huko Canberra. Zaidi ya hayo, Liberals na Nationals wamefunua mpa…

    08:26
  19. Maumivu ya wanawake kutiliwa maanani zaidi

    Serikali ya Victoria imetoa ripoti ya mwisho ya uchunguzi kuhusiana na uzoefu wa wanawake katika suala la maumivu - na ni taarifa inayosumbua kusoma. kutokana na uzoefu wa wanawake…

    08:02
  20. Maandamano ya kikundi cha NSN uliwezaje kuruhusiwa kufanyika

    Maandamano ya neo-Nazi mbele ya bunge la New South Wales yamezua mshtuko katika jamii za Kiyahudi na za tamaduni mbalimbali huko Sydney. Serikali ya jimbo hilo imekashifiwa baada y…

    08:52
Now Playing